![]() |
|
Aunt Ezekie
|
Na:Gladness Mallya na Hamida Hassan.
Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amesema kuwa anajutia matukio ya aibu aliyoyafanya hivi karibuni ya kuanika nyeti zake hadharani kwani yamemfanya ajishushie heshima.
Akizungumza na Ijumaa, Aunt alisema kitendo cha kupanda jukwaani na kucheza kihasara kiasi cha kuonesha sehemu zake nyeti akiwa mkoani Tanga na Mwanza kwenye Tamasha la Fiesta kilisababishwa na pombe alizokuwa amegida.
![]() |
|
Aunt Ezekiel.
|
Aidha SAGA
la mwigizaji huyo wa filamu za Kibongo,
Aunt Ezekiel (pichani) kuvaa nusu utupu na kukaa kihasara huku maungo nyeti
yakichungulia, limelifanya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) kumjia juu, ambapo
kupitia Katibu Mtendaji wa Basata,
Ghonche Materego limesema kuwa wasanii wamekuwa wakionywa mara kwa mara kuhusu
kuzingatia maadili na kuacha kuvaa nguo za nusu uchi hivyo inapotokea mmoja wao
akawa kichwa ngumu, basi huyo atakuwa na ugonjwa akilini hivyo anahitaji
ushauri wa kisaikolojia.









No comments:
Post a Comment