 |
Magoli ya
Simba ni Emmanuel Okwi, Daniel Akuffor na Mwinyi Kazimoto
ambapo
kipindi cha pili Simba ndio walishambulia kwa kasi na kupata magoli mawili ya
mwisho.
|
 |
Naibu Waziri
wa Kazi na Ajira, Mkongoro Mahanga akimkabidhi Ngao ya Hisani nahodha wa Simba,
Juma Kaseja baada ya kuifunga Azam FC 3-2 katika mchezo wa fainali
uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa
jijini Dar es Salaam.
|
 |
Kaseja
,Ngassa na Akuffo.
|
 |
Mshambuliaji
wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Azam FC, Aggrey Morris katika mchezo
wa Ngao ya Hisani uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
|
 |
| Simba imeshinda 3-2. Mapato ya mchezo huo yataelekezwa katika shughuli za
kijamii Hospitali ya Temeke. | |
 |
Mrisho
Ngassa kushangilia.
|
 |
Ushindi wa Azam FC wa bao 2 ulifungwa na John Boco na
Kipre Tcheche huku Azam Fc walikua na
nafasi ya kushinda kwa sababu Kipre Tcheche na John Bocco walipata nafasi za
kufunga lakini hawakuzitumia vizuri hivyo Simba wameichukua ngao ya jamii.
|
 |
Mashabiki wa
Simba.
|
(Picha na
http://francisdande.blogspot.com).
No comments:
Post a Comment