Mtoto azaliwa na miguu ya mbuzi katika eneo la Jahun, Jigawa State nchini Nigeria. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Tuesday, September 25, 2012

Mtoto azaliwa na miguu ya mbuzi katika eneo la Jahun, Jigawa State nchini Nigeria.


Hili ni tukio la sept 11 2012 ambapo huyu ndio farasi ambae inadaiwa mwanamke mmoja huko Nigeria anaedaiwa kumzaa ghafla akiwa kanisani baada ya maombi kuwa makali.



Ni siku 13 tu zimepita toka millardayo.com iandike stori kutoka Nigeria kuhusu mama anaedai kujifungua mtoto wa farasi.


Leo stori nyingine iliyoandikwa na mtandao wa Naijagists inamuhusu mwanamke anaedai kujifungua mtoto aliezaliwa kama binaadamu lakini ana miguu na tumbo kama la mbuzi.


Hili tukio limetokea sehemu inaitwa Jahun, Jigawa State, Nigeria ambako huyu mtoto amezaliwa akiwa hana shingo pia.

 Mama wa huyu mtoto anasema hii ni mara ya nne yeye kujifungua watoto wenye maumbo ya ajabu na mtoto huyu alikua amelazwa kitandani hospitalini.


Imeandikwa na millardayo.com.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad