|
|
Leo tarehe
07 majira ya alasiri, baadhi ya waumini wa madhehebu ya Kiislamu waliandamana
hadi Makao Makuu ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi wakiwa na hoja mbalimbali
ambazo waliziandika kama Risala kwa lengo la kuziwasilisha kwa Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi.
Hata hivyo Waziri na Naibu wake wako safarini
hivyo Risala hiyo ilipokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara, Mbarak Abdulwakil,
ambaye baada ya majadiliano alitoa tamko kwa niaba ya Waziri.
![]() |
|
Hapa
wakiendeleza Takibira.
|
|
Jeshi la
polisi wakilinda Jengo la Wizara hiyo wakihofia wasilamu kuvamia.
|
|
Kamanda Kova
alifika kutaka kuzungumzanao lakini alishindwa na kwenda kuungana na viongozi
wa wizara.
|
|
Ilipofika
laasiri pakageuzwa msikiti na kuswaliwa hapo hapo.
|
|
Jopo la
masheikh wakitoka wizarani kuja kutoa tamko la jeshi mbele ya waisilamu ambalo
walikubaliana na madai ya waisilamu kuchiliwa huru kwa watu wote wanao kamatwa
kwa kupinga kuandikishwa sensa.
|
(Imesambazwa
na Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).






No comments:
Post a Comment