Viongozi KCU na KDCU Kagera Kuchunguzwa. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Saturday, July 07, 2018

demo-image

Viongozi KCU na KDCU Kagera Kuchunguzwa.

.com/simgad/
36723850_1930137807026120_6836684931242917888_n
Naibu waziri wa Kilimo Bw. Omary Tebweta Mgumba ameagiza tume ya taifa iliyochunguza bodi ya Korosho na Tumbaku ishirikiane na vyombo vya uilinzi na usalama mkoani Kagera ichunguze viongozi wa vyama vikuu vya ushirika vya ununuzi wa kahawa mkoani Kagera kwa makosa mbali mbali ikiwemo kulipa deni la zaidi ya shilingi bilioni 4 kwenye benk ya CRDB badala ya kulipa wakulima. 

Bw. Mgumba amesema hayo wakati akizungumza na wakulima wa zao la kahawa kwenye mkutano wa hadhara ulifanyikia katika kata ya Birabo wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya wakulima kulalamikia bei ya kahawa na kutolipwa fedha zao zaidi ya miezi miwili.
 36689284_1930137790359455_5796842102994239488_n
36736128_1930137727026128_6599905222460440576_n
Amesema kuwa pamoja na kuagiza viongozi hao wa vyama vikuu vya ushirika KCU na KDCU Kukamatwa bado wanatakiwa kuchunguzwa kwa makosa ya kuhujumu uchumi ikiwemo bei ya awali ya kahawa badala ya kuwa 1,460 inanunuliwa shilingi 1,000.
 36790328_1930137713692796_6267749498512998400_n
 36743638_1930137757026125_3123472931171074048_n
Kwa upande wao baadhi ya wakulima waliokuwa kwenye mkutano huo wamesema kuwa pamoja na kuchukuliwa hatua viongozi hao wameiomba Serikali kuagalia upya utaratibu wa kuuza kahawa kwenye vyama vya ushirika kutokana vyama hivyo havina fedha za kutosha za kununua kahawa kutoka kwa walima hao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *