Matokeo ya Mechi za EPL zilizochezwa May 9,2018. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, May 10, 2018

Matokeo ya Mechi za EPL zilizochezwa May 9,2018.

Timu ya  Tottenham Spurs imeshinda bao 1-0 na sasa wanafikisha Point 74 ambazo Chelsea waliotoka sare ya 1-1 hawezi kuzifikia na Kufuzu au kupata tiketi kwa Chelsea ya kushiriki michuano ya UEFA Champions League msimu wa 2018/2019 kunategemeana na Liverpool  apoteze mchezo dhidi ya Brighton wakati wao Chelsea wakiwa ugenini watalazimika kuhakikisha wanapata ushindi ili wamalize nafasi ya nne katika msimamo wa msimu wa 2017/2018.

Matokeo ya Mechi za EPL zilizochezwa May 9,2018.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad