![]() |
Bingwa wa Soka mkoa wa Kagera ,Kumuyange
FC.
|
![]() |
Katika kituo
cha Geita,uwanja wa WAJA -Mabingwa wa Soka mkoa wa Kagera,Kumuyange FC wameanza kwa kishindo
kikubwa cha ushindi wa bao 6-2 dhidi ya Zimamoto FC ambao ni Mabingwa wa Soka mkoa
wa Shinyanga.
HAPA CHINI NI MATOKEO YA MECHI ZOTE.
|

![]() |
Leo hii May
8, 2018 Mabingwa wa soka mkoa wa Kigoma-Red Stars wanashuka saa 10
jioni kuanza harakati zao za kutafuta nafasi ya kwenda Ligi Daraja la pili
Taifa pale watakapo cheza mchezo wao wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa wa
Mikoa dhidi ya Migombani FC ambao ni
Mabingwa wa mkoa wa Songwe kwenye Uwanja wa Nelson Mandela.
|
No comments:
Post a Comment