![]() |
|
Mchezaji Daley Blind
akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester United, Scott McTominay (kulia)
na mshambuliaji Romelu Lukaku (kushoto), baada ya kuifungia timu yake bao la pili kwa
penalti 78 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Benfica kwenye mchezo wa Kundi A Ligi
ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana October 31,2017 Uwanja wa Old Trafford.
|
![]() |
|
Goli la kwanza Benfica
walijifunga kupitia kwa kipa wao, Mile Svilar dakika ya 45 kufuatia shuti
la Nemanja Matic
|

![]() |
|
Kwa matokeo
hayo Man Uited inaongoza ikiwa na alama 12, huku Benfica ikiburuta mkia na alama 0.
|










No comments:
Post a Comment