![]() |
|
Kwa upande
mwingine Mabingwa wa Ujerumani Bayern Munich nao wametinga hatua ya 16 bora
kutoka Kundi B baada ya kujikusanyia alama 9 nyuma ya PSG hivyo kuzitupa nje
timu za Celtic na Anderlecht.
Bayern imeifunga Celtic mabao 2-1 usiku wa
kuamkia leo.
Ligi hiyo ya
mabingwa barani Ulaya itaendelea leo Jumatano November 01,2017 kwa michezo nane kutoka kwenye makundi
manne kupigwa ambapo mabingwa watetezi Real Madrid watakuwa nchini England
kucheza na Tottenham Hospurs.
|
Wednesday, November 01, 2017
Home
MICHEZO
Bayern Munich na PSG zakwanza Kufuzu 16 Bora ya Michuano ya Mabingwa Ulaya ‘UEFA’ 2017/2018.
Bayern Munich na PSG zakwanza Kufuzu 16 Bora ya Michuano ya Mabingwa Ulaya ‘UEFA’ 2017/2018.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment