![]() |
|
Tottenham
wameweka rekodi mpya katika Epl kwa kushinda michezo 6 mfululizo ya ugenini
baada ya hii leo September 30,2017 kuibuka tena kidedea kwa ushindi wa mabao
manne kwa sifuri dhidi ya Huddersfield.
Mabao
mengine ya Tot yaliwekwa kimiani na Ben Davies huku Moussa Sissoko akifunga bao
lake la kwanza katika michezo 44 tangu ajiunge na Tottenhma Hotspur.
|
Saturday, September 30, 2017
EPL 2017/2018- Manchester United na Tottenham wapiga 4G.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment