![]() |
Hadi
Mapumziko, Yanga SC walikuwa mbele 3-0 kwa Bao 2 za Mzimbabwe Donald Ngoma,
Dakika za 4 na 21, na Amissi Tambwe, 25, na Kipindi cha Pili kuongeza moja
kupitia Vincent Bossou, 89.
Kipigo hiki
kimeitupa Ndanda FC Nafasi ya 13 wakiwa na Pointi 19 kwa Mechi 18.
Katika Mechi
nyingine iliyochezwa Leo, Mtibwa Sugar
waliiwasha Majimaji FC 1-0 huko Manungu, Morogoro.
Matokeo hayo
yameipandisha Mtibwa Sugar hadi Nafasi ya 3 wakiwa na Pointi 30 kwa Mechi 18 na
kuiacha Majimaji FC Nafasi ya 14.
Nafasi ya 4
inashikiliwa na Kagera Sugar wenye Pointi 28 kwa Mechi 17 na wa 5 ni Azam FC
wenye Pointi 27 kwa Mechi 17.
Alhamisi
zipo mechi 2 za VPL na moja ipo Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kati ya
Ruvu Shooting na Simba SC na nyingine ni pia Jijini Dar es Salaam huko Azam Complex
kati ya Azam FC na Tanzania Prisons.
|
Post Top Ad
Wednesday, December 28, 2016

VPL 2016/2017: Yanga SC yaisogelea Simba SC baada ya Kuifumua Ndanda FC 4-0.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
Makala Inayofuata
Vazi la Khanga kutufungia mwaka 2016 pale Regency Park Hotel.
Makala Iliyopita
Kurasa za Mbele na Nyuma za Habari Zilizopo Magazetini Leo Jumatano Disemba 28,2016.
Luka Modric Mchezaji Bora Ulaya 2017/2018, Ronaldo Mshambuliaji Bora.
AnonymousAug 31, 2018Azam na Yanga zaibuka na Ushindi Ligi Kuu Tanzania Bara.
AnonymousAug 24, 2018Shule 18 za Sekondari Ngara zapokea Vifaa vya Michezo kutoka Coca Cola.
AnonymousAug 03, 2018
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment