![]() |
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akizindua Mradi wa kikundi cha Vijana
wajasiliamali cha Ufugaji wa Nyuki na Shamba la Upandaji wa Miti katika kijiji
cha Nyaruku Wilayani Ngara.
|
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akikagua Mradi wa Usambazaji wa Umeme
Vijijini katika kijiji cha Nyankenda ikiwa ni Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015
/ 2020.
|
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akikagua Ukamilishaji wa Agizo la
Utengenezaji wa Madawati katika Shule ya Msingi Rulenge Jinsi lilivyo Kamilika
kama alivyotoa agizo Mhe:Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe
Magufuli.
|
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akikagua eneo la Shamba la kikundi cha
Mpaji ni Mungu Youth group kinacho jishughulisha na Ufugaji wa Nyuki na Ulimaji
wa Mazao Mbali mbali ya Chakula.
|
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akionyeshwa Bidhaa mbali mbali zinazo
zalishwa na kikundi cha Mpaji ni Mungu Youth group.
|
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akimkabidhi mmoja kati ya Wazee 25
waliopokea Vyeti Vya Matibabu ya bure kwa wazee katika kijiji cha kijiji cha
Mumiramila Wilayani Ngara.
|
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) alipo zindua Mradi wa Shamba la UVCC wilayani Ngara kwa ajili ya Shughuli Mbali mbali za kilimo kwa Vijana Wilayani
humo ikiwa ni Utekelezaji wa agizo lake alilotoa kwa Makatibu wote kuandaa
miradi Mbali mbali ili kukwamua Vijana kiuchumi kama kauli Mbiu yake isemayo”
SIASA NA UCHUMI”
|
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akiwasili katika Kijiji Cha BENACO
Wilayani Ngara, Shaka yupo kwa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua
miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM 2015 /2020.
|
Mwenyekiti
wa uvccm Mkoa wa Kagera Bw. Yahya Kateme akizungumza kumkaribisha Ndg: Kaimu
Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka Kuzungumza na Wajumbe wa Baraza la
UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM Wilayani Ngara.
|
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC)akizungumza na Wajumbe wa Baraza la
UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM Wilayani Ngara Katika Kikao Cha
Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi wa Engubenako Wilayani Ngara.
|
Kaimu Katibu
Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akizungumza na Wajumbe wa Baraza la
UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM Wilayani Ngara Katika Kikao Cha
Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi wa Engu-Benako Wilayani Ngara.
|
No comments:
Post a Comment