![]() |
Goli lililofungwa
na Sadio Mane dakika ya 2 kati ya 8 zilizoongezwa kufidia muda uliopotea,
limetosha kuipaisha Liverpool hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya
England 2016/2017.
|
![]() |
Katika
mchezo huo wa jana December 19,2016,usiku dhidi ya Everton uliochezwa kwenye
dimba la Goodison Park, ilionekana kama vile timu hizo pinzani zingetoka sare
lakini Mane akabadilisha sura ya mchezo katika dakika za lala salama.


No comments:
Post a Comment