![]() |
Mahrez akiwa
na mwanahabari wa BBC Peter Okweoche
Kadhalika,
ufanisi wake umetambuliwa na shirikisho la soka duniani FIFA, ambao
walimuorodhesha kwenye orodha ya wachezaji watakaoshindania tuzo ya Mchezaji
Bora wa Mwaka Duniani - Mwafrika pekee katika orodha ya wachezaji 23.
Mahrez sasa
anajiunga na vigogo wa soka Afrika , wakiwemo Abedi Pele, Jay-Jay Okocha na
Didier Drogba, ambao wamewahi kushinda Tuzo ya BBC ya Mwanakandanda Bora wa
Afrika wa Mwaka.
Na
ikizingatiwa kwamba bado ana miaka mingi ya kucheza, bado kuna muda kwake
Mahrez kuwafurahisha mashabiki, ambao wameonesha jinsi wanavyompenda.Kusoma zaidi Profile na Habari kuhusu Mahrez-Bofya Hapa.
|
Post Top Ad
Monday, December 12, 2016

Riyad Mahrez ashinda tuzo ya BBC Mchezaji bora Afrika 2016.
Tags
# MATUKIO
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
Makala Inayofuata
Pitia Kurasa za Habari Katika Magazeti Leo Alhamisi Disemba 15,2016.
Makala Iliyopita
Simba SC yapoteza Mchezo wa Kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar.
Luka Modric Mchezaji Bora Ulaya 2017/2018, Ronaldo Mshambuliaji Bora.
AnonymousAug 31, 2018Azam na Yanga zaibuka na Ushindi Ligi Kuu Tanzania Bara.
AnonymousAug 24, 2018Shule 18 za Sekondari Ngara zapokea Vifaa vya Michezo kutoka Coca Cola.
AnonymousAug 03, 2018
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment