![]() |
Simba SC
imeshinda bao 1-0 na Katika michezo nane iliyopita, Ruvu Shooting imeambulia
sare moja huku ikiwa imepoteza mechi saba mbele ya ‘mnyama.’
|
![]() |
Matokeo ya jana
December 29,2016 yanaifanya Simba SC ifikishe jumla ya pointi 44 kileleni mwa
VPL 2016/2017 huku Yanga SC ikifata nafasi ya pili kwa pointi zake 40 ikiwa
timu zote zimeshacheza mechi 18.
Kwa Timu za
Yanga SC na Simba SC ,mechi za VPL inasitishwa kwao hadi baada ya kwisha
Mashindano ya Mapinduzi Cup 2017 yatakayochezwa huko Zanzibar kuanzia Januari
01 hadi 13,2017.
VPL - Ligi Kuu Vodacom
Ratiba/Matokeo:
Jumatatu Desemba 26,2016.
Ruvu
Shooting 2 – 0 Tanzania Prisons
Jumatano Desemba 28,2016.
Yanga SC 4 –
0 Ndanda FC
Mtibwa Sugar
1 – 0 Majimaji FC
Alhamisi Desemba 29,2016.
Ruvu
Shooting 0 – 1 Simba SC
Azam FC 1 –
0 Tanzania Prisons
Jumamosi Desemba 31,2016.
Mwadui FC v
Kagera Sugar [Mwadui Complex, Mwadui]
African Lyon
v JKT Ruvu [Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam]
Mbeya City v
Mbao FC [Sokoine, Mbeya]
Jumapili Januari 01,2016.
Toto African
v Stand United [CCM Kirumba, Mwanza]
|
No comments:
Post a Comment