Mwanamuziki Darassa ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa Muziki jana December 18,2016 alipata ajali akiwa na Mtayarishaji wa video Hanscana walipokuwa njiani wakirejea Dar es Salaam kutoka Kahama.
Ajali hiyo inaelezwa kuwa ilitokea eneo la Ntobo barabara ya kuelekea mgodi wa Bullyanhulu, Wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga ilisababishwa na Mwendo kasi. Taarifa kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa hakuna aliefariki dunia.
No comments:
Post a Comment