Mwanamuziki
Wizkid wa Nigeria alijishindia tuzo la msanii bora wa mwaka Afrika.
Ifuatayo ni
orodha ya wasanii walioshinda tuzo za Afrimawards:
1. Msanii
bora wa kiume Afrika mashariki - Diamond Platnumz (Tanzania)
2. Msanii
bora wa kike Afrika mashariki - Cindy Sanyu (Uganda)
3.
Mwanamuziki bora wa Kiume Afrika Kusini - Black Coffee (Afrika Kusini)
4.
Mwanamuziki bora wa Kike Afrika Kusini - Sally Boss Madam (Namibia)
5.
Mwanamuziki bora wa kiume Afrika ya Kati - Wax Dey (Cameroon)
6.
Mwanamuziki bora wa kike Afrika ya Kati - Bruna Tatiana (Angola)
7.Mwanamuziki
bora wa kiume Afrika Kaskazini - DJ Van (Morocco)
8.
Mwanamuziki bora wa kike Afrika Kaskazini - Zina Daoudia (Morocco)
9.
Mwanamuziki bora wa kiume Afrika Magharibi - Flavour (Nigeria)
10.Mwanamuziki
bora wa kike Afrika Magharibi - Aramide (Nigeria)
11.Mwanamuziki
wa Kike mwenye ushawishi mkubwa - Naomi Achu (Cameroon)
12. Msanii
bora wa bendi ya /Dou/GroupBand Afrika- Flavour (Nigeria)
13. Msanii
anayeinukia vizuri zaidi - Amine Aub (Morocco)
14. Msanii
anayependwa na mashabiki kote Afrika - Phyno (Nigeria)
15. Mtunzi
wa Mwaka - Unique (Uganda)
16. Tuzo
maalum ya utambulizi - King Sunny Ade (Nigeria)
17. Msanii
bora /Duo/Group African Hiphop- Stanley Enow (Cameroon)
18. Msanii
bora wa muziki wa rege na Dancehall - Patoranking (Nigeria)
19. Msanii
bora wa muziki wa Utamaduni Afrika - Zeynab (Benin)
20. Msanii
bora wa African Electro -Such (Zimbabwe)
21. Msanii
bora wa Afrika katika RnB - Henok na Mehari Brothers (Ethiopia)
22. Msanii
bora wa Afrika Muziki wa Rock -M'vula (Angola)
23. Msanii
bora muziki wa muziki wa Jazz Afrika - Jimmy Dludlu (South Africa)
24. Kundi
bora la muziki Afrika -VVIP (Ghana)
25. Kolabo
bora Afrika - Mbilo Mbilo by Eddy Kenzo (Uganda) ft Niniola (Nigeria)
26. Video ya
mwaka - Dogo Yaro by VVIP (Ghana)
27.
Mwanamuziki Chipukizi wa Mwaka - Falz (Nigeria)
28. Albamu
ya mwaka - Ahmed Soultan (Morocco)
29. Wimbo wa
mwaka - Utanipenda Diamond Platnumz (Tanzania)
30. Msanii
bora wa mwaka -Wizkid (Nigeria)
|
No comments:
Post a Comment