![]() |
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu
wa Mkoa wa Mwanza John Mongella mara baada ya kuwasili katika Wilaya ya
Sengerema Mkoani Mwanza.
|
![]() |
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia wanakwaya
wa UWT Kisima cha maji Chumvi mara baada ya kuhutubia wakazi wa Sengerema
mkoani Mwanza.
|
![]() |
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Mwalimu Mstaafu wa Shule ya Sekondari Sengerema Wilson Fumbuka Mbanga ambaye
walifundisha naye shule hiyo tokea mwaka 1982-1985 mara baada ya kumaliza
mkutano wa hadhara Sengerema Mkoani Mwanza.
|


![]() |
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaagana na wakazi wa
Sengerema mkoani Mwanza mara baada ya kumaliza kuwahutubia.
|
![]() |
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa
Busisi wakati akielekea Mwanza.
|
![]() |
|
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ndani ya kivuko
cha MV. Misungwi wakati akielekea mkoani Mwanza.
PICHA NA
IKULU.
|











No comments:
Post a Comment