TAZAMA VIDEO :-Hotuba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli Wakati wa Uzinduzi wa Mpango wa Ugawaji Madawati Jana July 13, 2016. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, July 14, 2016

TAZAMA VIDEO :-Hotuba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli Wakati wa Uzinduzi wa Mpango wa Ugawaji Madawati Jana July 13, 2016.

Sikiliza Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kuzindua mpango wa ugawaji wa madawati yanayotengenezwa kutokana na fedha zilizotolewa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kubana matumizi katika bajeti yake.

Uzinduzi huo umefanyika Jana tarehe 13 Julai, 2016 katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es salaam ambapo Rais Magufuli amekabidhi madawati 537 kwa mbunge wa jimbo la Ilala Mheshimiwa Mussa Azan Zungu kwa niaba ya Wabunge wa Majimbo yote ya Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar ambayo yatagawiwa idadi hiyohiyo ya madawati kwa kila jimbo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad