|
June 02, 2016 Jeshi la
polisi nchini lilitoa tamko lililolenga kuzuia mikutano, maandamano ya kisiasa
nchini kutokana hali za kiusalama kutokuwa sawa.
Leo July 09 2019 Jeshi
la polisi nchini limetoa ufafanuzi kuhusu tamko la kupiga marufuku maandamano
na mikutano ya hadhara ya vyama vya kisiasa kuwa tamko hilo lililenga kuzuia
maandamano na mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa na tamko hilo halikupiga
marufuku mikutano ya kiutendaji na kiutawala ya vyama vya siasa inayofanywa kwa
mujibu wa katiba na kanuni za vyama husika.
Hivyo jeshi la polisi
linawataka watu wasipotoshe watu kuhusu tamko hilo na pale hali ya kiusalama
itakapotengemaa, mikutano na maandamano ya vyama vya siasa itaruhusiwa
kufanyika.
ULIKOSA HAYA MAMBO
MUHIMU YA KUYAJUA ILI USIPATIKANE KWENYE MIKONO YA POLISI? UNAWEZA KUANGALIA
VIDEO HII HAPA CHINI.
|
No comments:
Post a Comment