MATOKEO / RATIBA EPL 2015/2016:-Chelsea yalizwa Kimoja tu na Swansea. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, April 09, 2016

MATOKEO / RATIBA EPL 2015/2016:-Chelsea yalizwa Kimoja tu na Swansea.

Suigurdsson receives the congratulations of his team-mates after giving Swansea the lead in the Premier League clash against Chelsea
Timu ya Swansea imeshinda 1-0, bao pekee la Gylfi Sigurdsson dakika ya 25’’kwenye Uwanja wa Liberty katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza msimu huu 2015/2016 ,jioni ya leo April 9, 2016. 

Swansea City wamepata ushindi huo dhidi ya Chelsea na kujiweka kwenye usalama zaidi kutoka hatari ya kushushwa Daraja.

Chelsea goalkeeper Asmir Begovic takes issue with Swansea striker Alberto Paloschi after the two collided while challenging for the ball
Hiki ni kipigo cha kwanza kwa Chelsea chini ya Meneja wa muda Guus Hiddink kwenye Ligi na kimewabakisha Nafasi ya 10.

Nao Southampton walitangulia kwa Bao 3-0 kwa Bao za Shane Long, Graziano Pelle na Victor Wanyama huku la Newcastle United likifungwa na Andros Townsend.

Matokeo haya yamewaacha Newcastle United wakiwa Pointi 6 nyuma ya Timu ya 17, Norwich City , ambayo ni nafasi ya usalama.

LIGI KUU UINGEREZA 2015/2016 RATIBA.

Jumapili Aprili 10,2016.

1530 Sunderland v Leicester                

1800 Liverpool v Stoke              

1800 Tottenham v Man United             

Jumatano Aprili 13,2016.

2200 Crystal Palace v Everton   


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad