KUTUMBUA JIPU:-Waziri Ummy Mwalimu awasimamisha watendaji wa NHIF kwa Ubadhirifu wa fedha. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Friday, April 22, 2016

KUTUMBUA JIPU:-Waziri Ummy Mwalimu awasimamisha watendaji wa NHIF kwa Ubadhirifu wa fedha.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi kupisha uchunguzi kwa watendaji Wakuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa ubadhirifu wa fedha za mfuko huo kwa Mkoa wa Mara.


No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad