![]() |
|
Jeshi la
Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam kupitia kitengo chake cha Usalama
Barabarani limekamata magari mbalimbali kwa makosa ya Usalama barabarani. |
![]() |
|
Kamanda
Sirro amewataka Madereva kuwa makini na waangalifu pindi wawapo barabarani ili
kuepuka adhabu zitolewazo ili vipato hivyo viwasaidie katika maisha yao ya kila
siku.
|








No comments:
Post a Comment