TASWIRA PICHA:-CHADEMA na Kikao cha Kumpata Mrithi wa Dr. Slaa . - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Thursday, March 10, 2016

TASWIRA PICHA:-CHADEMA na Kikao cha Kumpata Mrithi wa Dr. Slaa .

Mwenyekiti wa chama cha Demokrsaia na Maendeleo (CHADEMA) Bw Freeman Mbowe akijadili jambo na Makamu Katibu ,kwa ajili ya mkutano wa  Baraza Kuu CHADEMA  ambao utamtangaza  Katibu  mkuu wa chama hicho kuchukua mikoba ya Dr. Slaa.
Makamu katibu Bw Salum Mwalimu akimlaki kwa bashasha kubwa Makamu Mwenyekiti CHADEMA,Tanzania visiwani.
Makamu katibu chadema Bw Salum Mwalimu akimpokea mwenyekiti,akijadili jambo na Makamu Katibu ,kwa ajili ya mkutano wa  Baraza Kuu CHADEMA  ambao utamtangaza  Katibu  mkuu wa chama hicho kuchukua mikoba ya Dr. Slaa.PICHA ZAIDI TAZAMA HAPO/BOFYA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad