CAF KOMBE LA SHIRIKISHO:-JKU ya Zanzibar yafungwa mabao 4-0..Usiku huu Bidvest Wits v Azam FC . - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, March 12, 2016

CAF KOMBE LA SHIRIKISHO:-JKU ya Zanzibar yafungwa mabao 4-0..Usiku huu Bidvest Wits v Azam FC .

Timu ya JKU ya Zanzibar imefungwa mabao 4-0 katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika,kwenye Uwanja wa Mandela,mjini Kampala, na wenyeji SC Villa ya Uganda.

Mabao ya Jogoo la Kampala yamefungwa na Mike Ndera, Mike Serumaga, Umar Kasumba na Godfrey Lwesibawa.

Sasa JKU itabidi ishinde 5-0 wiki ijayo Uwanja wa Amaan, Zanzibar ili kusonga mbele.

Wawakilishi wengine wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho, Azam FC wanashuka Uwanja wa Bidvest mjini Johannesbrug, Afrika Kusini kumenyana na wenyeji Bidvest Wits katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza.

CAF KOMBE LA SHIRIKISHO

Sports Villa – Uganda 4 - 0 JKU – Zanzibar

Stade Gabesien – Tunisia 2 - 1 AS DU Kaloum Star – Guinea  

Harare City – Zimbabwe 1 - 2 Zanaco – Zambia 

16:00 Atheletico Olympic – Burundi v CF Mounana - Gabon 

17:00 G.D. Sagrada Esperança - Angola v Grupo Desportivo Maputo - Mozambique

17:30 Vita Club De Mokanda – Congo v Police FC - Rwanda

17:50 Renaissance - Chad v ES Tunis - Tunisia         

19:00 Africa Sports - Ivory Coast v Enppi - Egypt     

19:00 Bidvest Wits - South Africa v Azam FC - Tanzania      

19:00 Misr Almaqasa – Egypt v SC Don Bosco - Congo, DR 

20:00 MC Oran – Algeria v SC Gagnoa - Ivory Coast 

21:00 Kawkab Athletic Club Marrakech – Morocco v Barrack Young Controllers FC - Liberia

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad