![]() |
|
Gianni
Infantino ndiye aliyechaguliwa kuwa Rais mpya wa Shirikisho la Soka Duniani FIFA.
Raia wa
Switzerland Gianni Infantino amechukua mahala pake Sepp Blatter kama Rais wa
Shirikisho la Soka Duniani FIFA.
Katibu huyo
mkuu wa FIFA alipata kura 115 katika raundi ya pili ikiwa ni kura 27 zaidi ya
mpinzani wake wa karibu Sheikh Salman bin Ebrahim al-Khalifa.
Mwanamfalme
Ali bin al-Hussein alikuwa wa tatu akiwa na kura nne huku Jerome Champagne
akishindwa kupata hata kura moja.
Tokyo
Sexwale alijiondoa kabla ya kura kuanza kupigwa mjini Zurich.
Raundi ya
kwanza ya upigaji kura ilishindwa kum'baini mshindi wa moja kwa moja.
Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na Mimi Hapa...FACEBOOK .. TWITTER .. INSTAGRAM … Pia Usisite kututumia tukio la Picha/Habari kwa WhatsApp +255789925630 Or +255756830214.
|
Friday, February 26, 2016
UCHAGUZI MKUU FIFA:-Gianni Infantino ndio Rais Mmpya.
Tags
# HABARI
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.






No comments:
Post a Comment