![]() |
|
Rais wa Tanzania, Dkt
John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mbunge wa Arumeru Mashariki Mhe
Joshua Nassari aliyekuwa mmoja wa Viongozi
na Wananchi waliojitokeza kwa wingi kumpokea alipowasili Uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuongoza Mkutano wa 17 wa Kawaida wa
Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki utofanyika jijini Arusha.
Picha na
IKULU.
Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na Mimi Hapa...FACEBOOK .. TWITTER .. INSTAGRAM … Pia Usisite kututumia tukio la Picha/Habari kwa WhatsApp +255789925630 Or +255756830214.
|
Sunday, February 28, 2016
Home
DONDOO
TASWIRA PICHA:- Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Awasili Arusha kuongoza Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki.
TASWIRA PICHA:- Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Awasili Arusha kuongoza Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Afrika Mashariki.
Tags
# DONDOO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
DONDOO
Labels:
DONDOO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.






No comments:
Post a Comment