![]() |
|
Yanga
SC ilipata bao la kwanza dakika ya tatu tu ya mchezo kupitia kwa Amissi Tambwe
huku Kipindi cha pili dakika ya 55, Thaban Kamusoko ambaye alikuwa nyota wa
mchezo huo aliifungia Yanga bao la pili kwa shuti kali akimalizia mpira wa
adhabu ndogo uliopigwa kwa mtindo wa pasi.
Katika hatua
inayofuata Yanga SC itakabiliana na kati ya Mbabane Swallows au APR ya Rwanda.
Pata Picha, Habari za Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga na Mimi Hapa...FACEBOOK .. TWITTER .. INSTAGRAM … Pia Usisite kututumia tukio la Picha/Habari kwa WhatsApp +255789925630 Or +255756830214.
|
Saturday, February 27, 2016
Home
MICHEZO
KLABU BINGWA AFRICA:- Yanga SC yaiondoa Mashindanoni Cercle de Joachim ya Mauritius kwa mabao 3-0.
KLABU BINGWA AFRICA:- Yanga SC yaiondoa Mashindanoni Cercle de Joachim ya Mauritius kwa mabao 3-0.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.







No comments:
Post a Comment