USAFI DAY / UHURU DECEMBER 09:-Wafanyakazi wa Radio Free Africa Wafanya Usafi katika soko kuu la Kimataifa la Samaki Mwaloni jijini Mwanza. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Thursday, December 10, 2015

demo-image

USAFI DAY / UHURU DECEMBER 09:-Wafanyakazi wa Radio Free Africa Wafanya Usafi katika soko kuu la Kimataifa la Samaki Mwaloni jijini Mwanza.

.com/simgad/
IMG-20151209-WA0063
Pichani ni team ya Wafanyakazi wa Radio Free Africa/Mwanza kwa pamoja imesherekea sherehe za Uhuru wa Tanganyika, Disemba 09 kwa kufanya usafi katika katika soko kuu la Kimataifa la Samaki -Mwaloni jijini Mwanza, kama jinsi alivyoagiza Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuagiza kuwa siku ya Uhuru itumike kufanya usafi kutokana na kushamiri kwa uchafu katika mazingira yanayotuzunguka.
IMG-20151209-WA0020

IMG-20151209-WA0053
‘’-Tumeshiriki kusafisha maeneo mbalimbali ya soko hilo pamoja na eneo la fukwe za ziwa Victoria zilizopo karibu na soko hilo linalojumuisha wafanyabiashara wengi wa dagaa na samaki’’-Amesema Yusuph Magasha Meneja Msaidizi wa kituo, Radio Free Africa/Mwanza.
IMG-20151209-WA0032

IMG-20151209-WA0029
#Hapa Kazi tuu‘’Yusuph Magasha Meneja Msaidizi wa kituo, Radio Free Africa akiendelea na zoezi la Usafi katika soko la Mwaloni -Mwanza.
IMG-20151209-WA0043

IMG-20151209-WA0057
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp .

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *