TAZAMA PICHA:-Rais Magufuli awaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri Ikulu Dar, leo December 12,2015. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Saturday, December 12, 2015

demo-image

TAZAMA PICHA:-Rais Magufuli awaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri Ikulu Dar, leo December 12,2015.

.com/simgad/

.com/blogger_img_proxy/
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Mhongo katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo December 12,2015 katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.

.com/blogger_img_proxy/
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii na Jinsia, wazee na watoto, Ummy Mwalimu katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri , leo December 12,2015 katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.BOFYA HAPA KULIFAHAMU BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LA TANZANIA 2015 - 2020.
.com/blogger_img_proxy/
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha waziri wa Katiba na Sheria, Harrison Mwakyembe katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo December 12,2015 katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.

.com/blogger_img_proxy/
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Naibu waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Ashantu Kijaji katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri, leo December 12,2015 katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
.com/blogger_img_proxy/
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimuapisha Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Lameck Nchemba katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri na Manaibu Waziri, leo December 12,2015 katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
.com/blogger_img_proxy/
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimwapisha waziri wa Sera, Bunge, Kazi ,Vijana,Ajira na Walemavu, Dkt. Abdallah Possi katika hafla fupi ya kuwaapisha Mawaziri, na manaibu Waziri leo December 12,2015 katika ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.

Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp .

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *