KAMPENI UKAWA 2015:-Taswira Picha 26 za Mkutano wake Dodoma Kibaigwa leo September 10,2015. - Mwana Wa Makonda
cV7ufzj

Muhtasari

X-BET

MAIN-

Post Top Ad

cV7ufzj

Thursday, September 10, 2015

demo-image

KAMPENI UKAWA 2015:-Taswira Picha 26 za Mkutano wake Dodoma Kibaigwa leo September 10,2015.

.com/simgad/
.com/blogger_img_proxy/
Toka tarehe 29 August 2015 ulipofanyika uzinduzi wa kampeni Ukawa bado wameendelea kusogea sehemu mbali mbali za kuwafikia wananchi na leo Sept 10,20145 Mkoani Dodoma katika wilaya ya Kongwa mji mdogo Kibaigwa katika uwanja wa Amani wamefanya mkutano na Edward Ngoyai Lowassa na amewataka watanzania kuiwezesha UKAWA kuingia madarakani ili waanze kazi ya kuondoa kero za wananchi zilizoshikana chini ya utawala wa CCM kutokana mfumo kandamizi zikipata ufumbuzi kwa muda mfupi likiwemo tatizo la maji.

Tatizo la maji ni miongoni mwa yanayolalamikiwa kwa muda mrefu na asilimia kubwa ya watanzania wakiwemo wa mikoa ya kanda ya kati ambalo, wananchi hawa wa Gairo ambao ni sehemu kidogo ya watanzania wanaolalamikia wanathibitisha.

Tatizo la udhaifu wa katiba na usimamizi wa sheria ni miongoni mwa mambo yanayoelezwa na viongozi waandamizi wa UKAWA akiwemo Mh Tundu Lisu kuchangia umasikini unaowakabili wananchi.

Mh Lowassa bado anaendelea kunadi sera za UKAWA katika majimbo mbalimbali ya mkoa wa Dodoma kabla ya kuhamia mikoa ya Singida na Shinyanga na hapa kukusogezea kila kinachonifikia na hapa nimekuwekea picha za mkutano mtu wangu...Picha kwa Hisani ya Millardayo/ na itv.


.com/blogger_img_proxy/
Wakazi wa Kibaigwa wakiwa karibu na usafiri wa mgombea uraisi 2015.

.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
Frederick Sumaye akizungumza na wakazi wa Kibaigwa.

.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
Wengine walifanya maamuzi ya kukaa chini

.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
Hili ndio gari lililokuwa likitumika kama jukwaa.

.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/

.com/blogger_img_proxy/

.com/blogger_img_proxy/
Hawa ndio wagombea kwa nafasi ya udiwani wakitambulishwa na mgombea urais Edward Lowassa

.com/blogger_img_proxy/
Edward Lowassa akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Kongwa Essau Ngobei
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/

.com/blogger_img_proxy/
Papo kwa Papo >>>> Pata Picha, Habari za  Siasa, Kijamii, Biashara, Muziki na Michezo na Nyingine kwa kujiunga  na mimi hapa…..FACEBOOK , TWITTER INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad

Contact Form

Name

Email *

Message *