![]() |
Mamlaka ya
Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), tayari imeziagiza kampuni zote
zilizofanya mabadiliko hayo kutolea maelezo.
Tiano
alisema ushindani mkubwa uliopo nchini ni miongoni mwa sababu nyingine
inayozifanya kampuni za huduma za simu kufanya uamuzi na mabadiliko ya bei mara
kwa mara kukabiliana na hali ya soko.
“Hivyo basi,
iwapo washindani wetu wakifanya uamuzi au mabadiliko, lazima na sisi tuendane
nayo haraka ili kuhakikisha hatuathiriki kibiashara. Hicho ndicho tulichafanya
wiki iliyopita,” alisisitiza Tiano.
Alipoulizwa
kwa nini walifanya mabadiliko hayo kwa siri tofauti na walivyokuwa wakitangaza
huduma hizo awali wakati wakizianzisha, alisema suala hilo TCRA imewataka
kulitolea maelezo.
Vodacom nayo
imetangaza kuwekeza Sh150 bilioni ili kujitanua na kuboresha huduma zake mwaka
2015.
Kiwango
kikubwa cha fedha hizo zitatumika katika upanuzi wa mitambo ya intaneti ya 2G
na 3G na kuboresha M-Pesa na ubunifu zaidi.
Sorce:-Mwananchi.
UNGANA NASI KATIKA FACEBOOK , TWITTER , INSTAGRAM , Pia tutumie tukio la Picha kwa WhatsApp +255789925630.
|
Friday, February 20, 2015

GHARAMA:- ‘Tozo za huduma za simu hazizuiliki’
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment