![]() |
Basi hilo la Taqwa lenye namba za usajili T 964 BHS aina ya SCANIA baadae lilifanikiwa kuondoka eneo la tukio kuelekea mjini Ngara kwa ajili ya Matengenezo zaidi ili liweze kuendelea na safari zake. |
Thursday, December 19, 2013

Home
MATUKIO
Tazama Taswira ya Basi la Kampuni ya Taqwa likinusurika kuwaka moto katika eneo la Mkajagali wilayani Ngara mkoani Kagera.
Tazama Taswira ya Basi la Kampuni ya Taqwa likinusurika kuwaka moto katika eneo la Mkajagali wilayani Ngara mkoani Kagera.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment