
Akizungumza
wakati wa kutiliana saini Mkataba wa utekelezaji wa Mradi huo, Katibu Mkuu wa
CHADEMA, DK. WILBROAD SLAA amesema awamu ya kwanza ya utekelezaji wa Mradi wa
kuwajengea uwezo Wanachama wake kupitia Baraza la Vijana la Chama hicho,
(BAVICHA), pamoja na lile la Wanawake (BAWACHA), inatarajiwa kuanza Machi,
mwaka huu.
![]() |
DK. SLAA |
Nae
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana (CHADEMA), JOHN HECHE amesema msaada huo
utawawezesha kutoa mafunzo kwa Viongozi wa Baraza hilo katika mikoa mbalimbali
nchini.
Chama cha
Conservative People’s Party (CPP), kilianzishwa mwaka 1915 na kimekuwa
madarakani kwa kipindi kirefu hadi kiliposhindwa katika Uchaguzi Mkuu uliopita
nchini.
Habari Na: cloudsfm.
No comments:
Post a Comment