Saturday, March 31, 2012

Home
WASANII
Msanii mahiri wa kizazi kipya Diamond akikamua live ndani ya Mlimani City huku tukio kubwa ukumbini hapo ni Mwanadada Wema Sepetu ambaye alikuwa mchumba wa Diamond katika show hii ya DIAMONDS ARE FOREVER alijikuta akipata aibu pale alipotoka kwenye kiti chake na kwenda kumtunza Diamond akiwa anaimba kwa steji na hela yake kutopokelewa na mtu mzima kuipotezea hela ile daaaaah''Ukumbi ukalipuka kwa Yoweee
Msanii mahiri wa kizazi kipya Diamond akikamua live ndani ya Mlimani City huku tukio kubwa ukumbini hapo ni Mwanadada Wema Sepetu ambaye alikuwa mchumba wa Diamond katika show hii ya DIAMONDS ARE FOREVER alijikuta akipata aibu pale alipotoka kwenye kiti chake na kwenda kumtunza Diamond akiwa anaimba kwa steji na hela yake kutopokelewa na mtu mzima kuipotezea hela ile daaaaah''Ukumbi ukalipuka kwa Yoweee
Tags
# WASANII
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
WASANII
Labels:
WASANII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment