Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na
wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Kagera wakati alipofungua Mashindano ya
39 ya UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba
jijini Mwanza Juni 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary
(wasita kushoto) wakitazama mechi ya mpira wa Kikapu kwa wanawake
baada ya kufungua mashindano ya 39 ya UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa
kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 9, 2018.
Kushoto ni
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza na watano
kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella. Pichani, Aisha Nasoro wa
Dodoma (kulia) akimtoka Zurfa Maulid wa Singida.(Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na wachezaji timu ya mpira wa Kikapu ya wanawake kutoka mkoa
wa Singida wakati alipofungua Mashindano ya 39 ya UMISSETA na UMITASHUMTA
ngazi ya Taifa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 9, 2018. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza
wakati alipofungua Mashindano ya 39 ya UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya
Taifa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 9, 2018. (Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya wananchi wa mkoa wa Mwanza
wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipohutubia kabla ya
kufungua Mashindano ya 39 ya UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa kwenye
Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 9, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana
ya Bwiru ya jijini Mwanza wakionyesha halaiki kabla ya Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa kufungua Mashindano ya 39 ya UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi ya Taifa
kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Juni 9, 2018.
Baadhi ya wanamichezo wanaoshiriki katika
Mashindano ya 39 ya UMISSETA na UMITASHUMTA ngazi Taifa wakipita
kwa maandamano mbele ya mgeni rasmi, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati
alipofungua mashindano hayo kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Juni 9,
2018. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment