Aidha
amesema ajali hiyo pia imesababisha kifo cha mwanafunzi aliyefahamika kwa jina
la Eliakimu Samsoni (15 )aliyekuwa akitembea kwa miguu kuelekea shuleni na gari
hilo kumgonga akiwa anatembea.
Amesema chanzo cha ajari hiyo ni dereva kushindwa kuimudu gari kwenye mteremko mkali na kusababisha gari hiyo kutelemka kwa mwendo mkali na kumshinda dereva huyo na kusababisha vifo hivyo.
Kamanda
Otieno amewaomba madereva kuzingatia sheria za barabarani na kuhakikisha gari
za mizigo hazibebi abiria ili kunusuru vifo vitokanavyo na ajali na kuhakikisha
wanazingatia alama za barabarani.
|
Juu na Chini ni Muonekano wa mabaki ya Lori hilo.
|
No comments:
Post a Comment