Kwa mujibu
wa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Serikali ya Tanzania katika Wizara ya
Ushirikiano wa Afrika Mashariki, matumizi ya vituo hivyo vya pamoja, yatafanya
msafiri kukaguliwa sehemu moja ya anakoelekea, huku idara zote zikiwa katika
jengo moja.
Vituo hivyo
vya pamoja, vitadhibiti na kuboresha utoaji huduma za kiforodha na uhamiaji kwa
ushirikiano na ufanisi zaidi, hivyo kukuza biashara, uwekezaji, uzalishaji na
usafirishaji.
|
Saturday, March 17, 2018
Home
MATUKIO
Picha za Eneo la Kituo cha Ushuru cha Pamoja (OSBP) cha Kabanga wilayani Ngara mkoani Kagera.
Picha za Eneo la Kituo cha Ushuru cha Pamoja (OSBP) cha Kabanga wilayani Ngara mkoani Kagera.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment