Jana, Ijumaa
March 16,2018, ratiba ya robo fainali ya Champions League 2017/2018 imetoka na
Juventus wameangukia tena mikononi mwa Real Madrid, hii ni nafasi nyingine tena
kwa wababe hawa wa Italia kulipa kisasi kwa Real Madrid.
Liverpool
dhidi ya Manchester City katika robo fainali ya Champions League, huu ni mchezo
ambao baada ya droo tu kutangazwa tayari umeshakuwa gumzo sana kutokana na
viwango vya timu hizi mbili.
Bayern
Munich wanaonekana kuwa na bahati, kwani timu zote zilikuwa zikiomba kupewa
Sevilla katika hatua hii kwani ndio timu inaonekana dhaifu na Bayern Munich
wamefanikiwa kuipata bahati hiyo.
FC Barcelona
nao, kama ilivyo kwa Sevilla, As Roma ni timu nyingine inaonekana dhaifu na Fc
Barcelona wamepata bahati kukutana na Roma, michezo hii inatarajia kupigwa kati
ya tarehe 3 hadi 11 April,2018.
HAPA CHINI NI RATIBA KAMILI.
|
Saturday, March 17, 2018
Liverpool Usoni mwa Manchester City robo fainali ya Champions League.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment