
![]() |
Real Madrid
imefanikiwa kushindwa magoli 3-1 dhidi ya PSG
katika mchezo wa 16 bora wa Klabu Bingwa barani ulaya uliochezwa usiku
wa Jumatano February 14,2018.
Mchezo huo
uliokuwa nyumbani kwa Madrid, Mchezaji bora Duniani Cristiano Ronaldo alifunga
magoli mawili katika dakika ya 45', 83', huku lile la 3 likifungwa na Marcelo
86' wakati lile la PSG limefungwa na Adrien Rabiot dakika 33'
|


No comments:
Post a Comment