![]() |
Mabao ya
Yanga SC yalifungwa na nyota wake Obrey Chirwa, Emmanuel Martin na Tshishimbi
Kabamba aliyefunga mawili na kuifanya sasa timu hiyo ikamilishe ushindi wa tano
katika michezo ya Ligi kuu ya hivi karibuni na sita ukijumlisha na michuano ya
kimataifa.
Baada ya
ushindi huu Yanga SC inatarajiwa kuondoka nchini siku ya Jumapili kuelekea
nchini Shelisheli kwaajili ya mchezo wa marudiano utakaopigwa Februari 21 dhidi
ya wapinzani wao St. Louis.
|
Thursday, February 15, 2018

Yanga SC yaibutua Majimaji FC VPL 2017/2018.
Tags
# MICHEZO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MICHEZO
Labels:
MICHEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment