Ufahamu Ugonjwa wa Homa ya Chikungunya, Tanzania yatoa Tahadhali kwa Wananchi wake. - Mwana Wa Makonda

Muhtasari

X-BET


Post Top Ad

Saturday, January 20, 2018

Ufahamu Ugonjwa wa Homa ya Chikungunya, Tanzania yatoa Tahadhali kwa Wananchi wake.

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya imeutahadharisha umma wa Watanzania  kuhusu Ugonjwa wa Homa ya Chikungunya ambao huambukizwa na Mbu aina ya aedes na hauna tiba mahsusi wala kinga. 

Isome taarifa hii Hapa chini kuelewa zaidi kuhusu ugonjwa huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad