Hawa ni Wadau wa Kabanga.
|
Hawa ni Wadau wa Rulenge wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Chama cha Soka wilaya ya Ngara NDFA-Mwl Mashaka Makemba.
|
Madau wa Rulenge Mama Helena Adrian alitoa wito kwa Vijana wa Ngara kujitokeza kucheza soka ili kuonesha vipaji vyao na Kombe hilo la Ubingwa wa Mkoa wa Kagera liwe chachu kwa Viongozi na Wadau kupambana ipasavyo kufikia mafanikio katika Michezo wilayani.
|
Mwenyekiti wa Timu ya Kumuyange FC-Ezron Nyamunda na Mdau wa Mabawe wakilionesha Kombe kwa Wana Mabawe.
|
Mama yetu wa Mabawe kwa raha zake na Kombe .
|
Hawa ni Wadau wa Rulenge
|
Katibu Mwenezi wa CCM wilaya ya Ngara Godard na furaha ya Ubingwa wa Kumuyange FC.
|
Viongozi wetu wa Kumuyange na Pozi la Picha na Kombe letu.
|
*Tumejipanga kufanya vyema Ligi Taifa
ya Mabingwa wa Mkoa, Kombe la Shirikisho la Azam sambamba na kuhakikisha
Watanzania wanalitambua soka la Ngara, kitaifa *Mwenyekiti wa Kumuyange FC -
Ezron Nyamunda -Pichani Kulia.
Ubingwa wa Kumuyange FC unawafanya kuandika rekodi ya kuubeba Ubingwa wa Mkoa
bila kupoteza mechi yake hata moja,ikishinda zote toka hatua ya makundi na ligi
ndogo ,ikifunga Jumla ya magoli 34,Mchezaji wake Denis Msuva akipiga Hat Trick
4 na kuibuka mfungaji bora na wmeubeba Ubingwa kwa kujikusanyia Pointi 9.
|
Wadau wa Kabanga na raha ya Ubingwa wa Kumuyange FC.
|
No comments:
Post a Comment