“Ni kweli
imetokea ajali hiyo na kusababisha vifo vya watu wawili akiwepo dereva la basi
dogo la Kampuni ya Mkombozi ambaye alifariki papo hapo na abiria mwingine,
lakini pia wapo majeruhi watatu ambao wamepelekwa hospitali kwa matibabu
zaidi,” alisema Msangi.
Jeshi la
polisi linaendelea kufanya uchunguzi kujua chanzo za ajali hiyo.
|
Monday, January 22, 2018
Ajali ya Basi Mwanza Yaua na Kujeruhi.
Tags
# MATUKIO
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
MATUKIO
Labels:
MATUKIO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment