
![]() |
Chirwa akiwasili.
Yanga SC
ikitolewa katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Mapinduzi na timu ya URA
ya Uganda kwa njia ya mikwaju ya penati 5-4.
Katika
mikwaju hiyo Mzambia, Obrey Chirwa alikosa bao nahivyo kuifanya URA kosanga
mbele ambapo sasa atacheza mchezo wa fainali na Azam FC tarehe 13,January ,2018 siku ya
Jumamosi.
|

![]() |
Ni mara ya
tatu mfululizo Yanga SC kupoteza mechi ya nusu fainali na kuaga mashindano ya
Mapinduzi kwani mwaka 2016 na 2017 pia ilipoteza nusu fainali zake na kushia
kuisikia fainali ya mapinduzi kwa muda mrefu.
Yanga SC wamepoteza nusu fainali kwa mara ya pili mfululizo dhidi URA na mara zote wakitolewa kwa mikwaju ya penati, mwaka 2016 walitupwa nje ya mashindano kwa penati 4-3 baada ya sare ya kufungana 1-1. |





No comments:
Post a Comment