Luteni Kanali
Michael Mntenjele ( wa pili kutoka kulia pichani ) amewakata wahitimu hao
wa Mgambo kuimarisha amani na utulivu kwa kudhibiti magendo maeneo ya mpakani
na kushirikiana na vyombo vya dola kutokomeza uhalifu.
|
Vijana hao
wamesema katika mafunzo yao wamekumbana na changamoto za kutambua uzalendo,
kujiandikisha wasiokuwa RAIA kutoka kata jirani ambao baada ya kuchujwa
wamebaki watanzania watakaootumikia taifa kwa weledi mkubwa.
|
No comments:
Post a Comment