Mbunge akiwa
na Wananchi waliouthuria katika sherehe hizo.
|
Mbunge wa
viti maalumu CCM Amina Mollel akiwa anasalimia na moja na mzee aliekuwa rrika
la kurianga ambae kwa sasa ameingia katika rika
la Nyangulo
Wazazi
hususani Jamii ya Kimasai wametakiwa kuachana na zana ya kuwatenga na
kutowapeleka shule watoto wa kike na wale ambao ni walemavu badala yake wawapeleke mashuleni kwani wao
ndio viongozi wa baadae
Hayo
yamebainishwa na Mbunge wa viti Maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Amina
Mollel wakati alipokuwa akizungumza kama mgeni rasmi katika sherehe za kupandisha ngazi rika kutoka katika rika la
kurianga kuingia katika rika ya uzee,sherehe ambazo zilifanyika katika Kijiji cha Oldenderet Kata ya Nduruma mkoani
Arusha
|
No comments:
Post a Comment