“Niwaombe
wakazi wa kijiji cha kasange kata ya kirushya kuwa wavumilivu katika kipindi
hiki kigumu mimi kwa kushirikiana
naserikali tunatafuta namna ya kuweza kuwa saidia wananchi hawa natambua kuwa
tatizo la maji ni tatizo la kitaifa lakini niwaombe kuvuta subira nafanya kila
liwezekanalo kupata wafadhili ili kuweza kujenga tenki la maji kubwa pamoja na
pampu kwaajili ya kusuma maji kutoka kwenye kisima hiki kujaza tenki ambalo
litasaidia kusambaza maji ndani ya kijiji hicho”alisema Gashaza.
Kisima hicho
ambacho uhudumia watu wengi ikiwemo raia kutoka nchi jirani ya Burundi ambao ni
majirani kutokana na kijiji hicho kupakana na nchi ya Burundi.
Wananchi walipaza
kilio chao kwa Mbunge , Bw. Alex Rafael Gashaza ili kuwasaidia kutatua
changamoto ya maji katika kijiji chao ili kuondokana na usumbufu wa maji wanao
upata.
Hata hivyo Mbunge
wa Jimbo la Ngara Bw. Gashaza amesema kuwa hivisasa yupo kwenye mchato
wa kutafuta wafadhili ili kusaidia kujudi zake za kujenga Visima maeneo yaliyo
na shida ya maji ili kutosheleza mahitaji ya wananchi.
|
Sunday, July 30, 2017
Changamoto la Maji Kasange latua mikononi mwa Mbunge wa Jimbo la Ngara Alex Gashaza.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment