Katika
uzinduzi huo uliohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ngazi za juu wa serikali
wakiwemo Rais wa Zanzibar, Dkt. Ally Mohammed Shein, Makamu wa Rais, Bi. Samia
Suluhu Hassan, Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, Waziri wa
Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na wengine, Rais Magufuli alianza
kukagua Kituo cha Taifa cha Kutunzia Taarifa (Data Center), kilichopo TTCL
Kijitonyama na kuridhishwa na mafanikio makubwa ya ubunifu huo.
Rais
Magufuli, Makamu wa Rais, Bi. Samia Suluhu na Rais wa Zanzibar, Dk. Ally
Mohammed Shein walikabidhiwa iPads za kuwawezesha kuona mapato ya serikali
yaliyokusanywa na mfumo huo wa kielektroniki.
HAPA
CHINI-BOFYA PLAY KUISIKILIZA HATUBA YOTE YA RAIS MAGUFULI KATIKA UZINDUZI HUO.
|
Friday, June 02, 2017
Home
HABARI
VIDEO/PICHA- Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Uzinduzi Mfumo wa Serikali wa Ukusanyaji Mapato Kielektroniki.
VIDEO/PICHA- Hotuba ya Rais Magufuli wakati wa Uzinduzi Mfumo wa Serikali wa Ukusanyaji Mapato Kielektroniki.
Tags
# HABARI
Sambaza Hii
Chief Editor | Mhariri
HABARI
Labels:
HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kuhusu Mwandishi
Journalist / Chief Editor / Tanzanian Blogger
Simu: 0756830214 / 0620197747 / 0789925630.
No comments:
Post a Comment