Waziri wa
Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akihitimisha mjadala wa
Bajeti ya Wizara yake ambapo Bunge limepitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi
ya shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
|
Waziri Mkuu
Mhe. Kassim Majaliwa, akimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) ndani ya Ukumbi
wa Bunge Mjini Dodoma, baada ya wabunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo kwa
Mwaka wa Fedha 2017/2018.
|
Waziri Mkuu
Mhe. Kassim Majaliwa, akimpongeza Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ndani ya Ukumbi wa
Bunge Mjini Dodoma, baada ya Wabunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo ya jumla
ya shilingi trilioni 11.752 kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
|
Naibu Waziri
wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto) akimsikiliza kwa
makini Mbunge wa Babati Vijijini Mhe. Jitu Soni nje ya Ukumi wa Bunge mara
baada ya Wabunge kupitisha Bajeti ya Wizara hiyo ya shilingi trilioni 11.752
kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018.
|
No comments:
Post a Comment